Sunday , 19 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wassira: Ni aibu bandari Dar kudorora
Habari za SiasaTangulizi

Wassira: Ni aibu bandari Dar kudorora

Spread the love

MWANASIASA mkongwe nchini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema itakuwa ni aibu kwa Serikali iwapo itashindwa kuchukua hatua ya kuboresha ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Akizungumza leo tarehe 29 Julai 2023 katika viwanja vya Kawe jijini Dar es Salaam Wasira amesema wanazungumzia zaidi uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam kwa sababu imekuwa na ufanisi mdogo.

“Bandari ya Dar es Salaam inahudumia tani milioni 18 kwa mwaka, reli ya kati ikikamilika itakuwa na uhitaji tani milioni 25, reli ya Tazara ikiboreshwa pia itabeba tani milioni tano kwa mwaka. Jumla ni tani milioni 30 kwa mwaka lakini bandari hii nahudumia milioni 18 chini ya nusu ya mahitaji,” amesema Wasira.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yamteua Pele kuwa mgombea ubunge Kwahani

Spread the loveKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Spread the loveKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

Spread the loveWAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

RC Chongolo atangaza ‘vita’ kwa wanaovusha wageni kinyemela

Spread the loveKATIKA kulinda usalama wa nchi kupitia mpaka wa Songwe, Mkuu...

error: Content is protected !!