Friday , 17 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mkono afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mkono afariki dunia

Spread the love

NIMROD Elirehema Mkono, aliyekuwa mbunge wa Musoma Vijijini na baadaye Butiama, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia leo Jumanne nchini Marekani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mkono alikuwa Marekani tangu mwaka 218, alikokwenda kupatiwa matibabu ya tatizo la kusahau.

Taarifa za kifo cha Mkono, zimethitishwa na mdogo wake Zadock Mkono ambaye amesema taarifa zaidi kuhusu sababu za kifo cha kaka yake na taratibu nyingine zitatolewa baadaye.

Mwanasiasa huyo ambaye alikuwa wakili mashuhuri nchini, alikuwa miongoni kwa wanasiasa na wanasheria waliowahi kutuhumiwa kwa ufisadi na chama Kikuu Cha upinzani cha CHADEMA, Septemba 2007.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara yaomba bajeti ya Sh. 67.9 bilioni, wamachinga watengewa bilioni 10

Spread the loveBAJETI ya Wizara ya maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Migogoro ya ndoa yaongezeka, Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveMIGOGORO ya ndoa na familia imeongezeka kwa asilimia 8.3  kutoka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali yahamasisha uanzishaji vituo vya kulea watoto wachanga

Spread the loveSERIKALI imewahimiza wananchi kujenga vituo vya kulelea watoto wadogo na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Udhibiti wa serikali wakera asasi za kiraia

Spread the loveBaadhi ya wadau wa demokrasia na viongozi wa asasi za...

error: Content is protected !!