Wednesday , 1 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Miaka 59 Mapinduzi Z’bar: NMB, BLRC washiriki usafi Maisara
Habari Mchanganyiko

Miaka 59 Mapinduzi Z’bar: NMB, BLRC washiriki usafi Maisara

Spread the love

LEO Alhamisi tarehe 12 Januari 2023, Zanzibar inaadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Matufuku. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Wafanyakazi wa Benki ya NMB, Zanzibar pamoja na wafanyakazi wa Baraza la Udhibiti la Mifumo wa utoaji Leseni (BLRC) wakishiriki kufanya usafi wa viwanja vya Maisara ikiwa ni shamrashamra za maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Mwaka 1964.

Shughuli mbalimbali za kijamii zimefanyika ikiwemo za Wafanyakazi wa Benki ya NMB, Zanzibar pamoja na wafanyakazi wa Baraza la Udhibiti la Mifumo wa utoaji Leseni (BLRC) kushiriki kufanya usafi wa viwanja vya Maisara.

Meneja wa Biashara za Zanzibar wa Benki ya NMB, Naima Shaame (wapili kulia) pamoja na baadhi ya watumishi wa Benki ya NMB na Baraza la Udhibiti wa Mifumo ya utoaji Leseni (BLRC) Zanzibar wakiwa katika shuguli za kuvisafisha viwanja vya Maisara ikiwa ni sehemu ya sherehe za maadhimisho ya miaka 59 ya mapinduzi matakatifu ya Zanzibar.

1 Comment

  • Meeeeengi yanasemwa kuhusu mapinduzi ya 1964. Sisikii chochote kuhusu nafasi ya chama cha UMMA PARTY katika mapinduzi hayo. Ni kweli chama hicho hakijahusika? Kama ni hivyo mbona miaka hiyo ya sitini viongozi wa UMMA pamoja na Afro Shirazi waliunda serikali ya Mapinduzi kwa pamoja? Wengi wao waliteuliwa kuwa mawaziri, mabalozi na ma DC na RC. Haya mbona yanafichwa? Ilikuwaje?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Habari Mchanganyiko

TMA yapongezwa kuimarisha ubora na usahihi wa taarifa za Hali ya Hewa

Spread the love  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),...

error: Content is protected !!