Tuesday , 21 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Tanzania yachukua tahadhari mlipuko wa Ebola Uganda
Habari Mchanganyiko

Tanzania yachukua tahadhari mlipuko wa Ebola Uganda

Spread the love

KUFUATIA mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchi jirani ya Uganda, Serikali ya Tanzania imewaondoa hofu wananchi wake kwa kueleza kuwa hakuna kisa hata kimoja na imeanza kuchukua hatua za tahadhari. Anaripoti Jonas Mushi…(endelea)

Uganda ilitangaza mlipuko wa Ebola jana tarehe 20 Septemba, 2022, baada ya watu kadhaa kuripotiwa kufariki kwa ugonjwa huo unaosababishwa na kirusi cha Ebola.

Katika taarifa yake kwa umma leo Jumatano tarehe 21, 2022, Naibu Waziri wa Afya wa Tanzania,, Godwin Mollel amesema hadi sasa hakuna mgonjwa wa Ebola nchini humo lakini akawataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.

Amesema kuwa tayari amewaagiza waganga wakuu wa mikoa na halamashauri nchini humo kuimarisha utoaji eleimu, ufuatiliaji wa ugonjwa huo, uchunguzi w akitaalamu na kuhakikisha upatikanaji wa vifaa tiba na kinga muhimu katika maeneo yao.

“Vilevile nimeagiza kuimarisha uchunguzi wa wageni wanaoingia nchini kupitia mipaka yetu ikiwemo matumizi ya vipima joto,” amesema Mollel.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Hukumu mahakama kuu yabatilishwa kesi State Oil, Equity Bank Tz

Spread the loveMAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imebatilisha hukumu iliyotolewa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Geita, Mwanza waongoza kwa mbwa

Spread the loveNaibu waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Watumishi 25,039, taasisi 65 wahamia Dodoma

Spread the loveSerikali imesema hadi sasa, jumla ya watumishi 25,039 kutoka Serikali...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yapata idhini kuwa wakala wa madalali wa DSE

Spread the loveBenki ya NMB imepata idhini kutoka Benki Kuu ya Tanzania...

error: Content is protected !!