Sunday , 19 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa VIDEO: Loliondo yamuibua Ole Sendeka bungeni, Spika na waziri wamtuliza
Habari za SiasaTangulizi

VIDEO: Loliondo yamuibua Ole Sendeka bungeni, Spika na waziri wamtuliza

Mbunge wa Simanjiro (CCM) nchini Tanzania, Christopher Ole Sendeke
Spread the love

 

MBUNGE wa Simanjiro (CCM) nchini Tanzania, Christopher Ole Sendeka ameibua sakata la wilaya nne za mikoa ya Arusha na Manyara ambazo zinaweza kuathirika na wananchi wake ambao wengi ni jamii ya Masai kuahmishwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Alikuwa akichangia Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2022/23 leo Jumatatu, tarehe 20 Juni 2022 na kuibua mvutano baina yake, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja huku Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akiingilia kati kuweka mambo sawa.

Fuatilia video hii hali ilivyokuwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

Spread the loveWAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

RC Chongolo atangaza ‘vita’ kwa wanaovusha wageni kinyemela

Spread the loveKATIKA kulinda usalama wa nchi kupitia mpaka wa Songwe, Mkuu...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

RUWASA yachongewa, yateketeza mamilioni kwa maji yenye magadi

Spread the loveSAKATA la ukosefu wa maji wilayani Momba mkoani Songwe limezidi...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa...

error: Content is protected !!