Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Polisi Tanzania: Tunaendelea kuchunguza tuhuma za Nabii Mwingira
Habari Mchanganyiko

Polisi Tanzania: Tunaendelea kuchunguza tuhuma za Nabii Mwingira

Kiongozi wa Kanisa la Efatha, Mtume na Nabii Josephat Mwingira
Spread the love

 

JESHI la Polisi Tanzania limesema, Kiongozi wa Kanisa la Efatha, Mtume na Nabii Josephat Mwingira alikwisha kufika na kuandika maelezo juu ya tuhuma alizozitoa dhidi ya Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa aliyoitoa leo Ijumaa, tarehe 30 Desemba 2021, Msemaji wa Jeshi hilo, David Misime, “Askofu Mwingira alishafika polisi na kuandika maelezo yake.”

“Hatua zinazoendelea tangu atoe maelezo hayo ni kufanyika kwa uchunguzi wa aliyoyaeleza,” ameongeza Misime.

David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi

Hata hivyo, taarifa hiyo haikufafanua Nabii Mwingira alihojiwa linin a wapi na kwa maelezo ya awali, nini wamekibaini.

Nabii Mwingira anatuhumiwa kutoa tuhuma nzito za kunusurika kuuawa mara tatu na watu wa serikali jambo lililomfanya Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuagiza Polisi kumtafuta na kumhoji kuhusu tuhuma hizo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

200 wapimwa afya na GGML katika maonesho ya OSHA

Spread the loveZAIDI ya watu 200 jijini Arusha wamejitokeza kupimwa afya na...

Habari Mchanganyiko

Mfanyakazi CRDB atoa sababu za kubambikiwa kesi, hukumu Mei 30

Spread the love  MFANYAKAZI wa Benki ya CRDB, Ibrahim Masahi (40) ameieleza...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ummy atangaza Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba

Spread the loveSERIKALI imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha matibabu ya...

Habari Mchanganyiko

Shahidi aeleza namna Nathwani alivyomjeruhi jirani yake

Spread the loveMSIMAMIZI wa Msikiti wa Wahindi Lohana aitwae, Ankit Dawda (32)...

error: Content is protected !!