Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Watumishi 5 TRA wafariki ajalini Songwe
Habari MchanganyikoTangulizi

Watumishi 5 TRA wafariki ajalini Songwe

Spread the love

 

WATUMISHI watano Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kikosi kazi cha fast Track wamefariki dunia katika ajali ya gari eneo la Hanseketwa Oldvwawa wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Songwe … (endelea).

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe (RPC), Janeth Magomi amesema, ajali hiyo imetokea leo asubuhi Jumatatu, tarehe 23 Agosti 2021 wakati gari walilokuwa wamepanda T 8825 STL kugonga kwa nyuma lori T586 ANE walilokuwa wanalifukuzia.

 

RPC Janeth amesema, miili ya watumishi hao akiwemo dereva wao imehifadhiwa Hospitali ya Rufaa ya Songwe.

Waliofariki ni Azari Shifonike ambaye ni dereva, Joel Mitondwa, Saidi Buddy, Fahad Hassan na Benard Mashingi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Spread the loveBenki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

error: Content is protected !!