Sunday , 19 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia kuteta na wanawake Dodoma kesho
Habari Mchanganyiko

Rais Samia kuteta na wanawake Dodoma kesho

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Jumanne, tarehe 8 Juni 2021, kuanzia saa 3:00 asubuhi, atazungumza na wanawake wa mkoa wa Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea).

Ni katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Convertion Center, uliopo jijini Dodoma.

Akizungumzia mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amesema, Rais Samia atazungumza na wanawake zaidi ya 10,000 wakiwakilisha wanawake wote nchini.

Anthony Mtaka, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma

Mtaka amesema, wanawake wa Wilaya ya Dodoma na maeneo jirani, wamekwisha kupewa mwaliko wa kuhudhuria mkutano huo pamoja na wabunge wanawake bila kujali vyama vyao wamealikwa kushiriki.

Hii itakuwa mara ya pili, Rais Samia kukutana na kuzungumza na makundi maalum, ikitanguliwa na mazungumzo aliyoyafanya na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam hivi karibuni.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yamteua Pele kuwa mgombea ubunge Kwahani

Spread the loveKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Canada yatenga bilioni 38 kutekeleza mradi ya kuinua vijana TZ

Spread the loveSERIKALI ya Canada kupitia ‘CARE International Canada’ imetenga takribani Sh...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Spread the loveKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza...

Habari Mchanganyiko

Balile ateuliwa rais wa wahariri Afrika Mashariki

Spread the loveJumuiya ya Wahariri wa Afrika Mashariki (EAES), imemchagua Mwenyekiti wa...

error: Content is protected !!