Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Bocco nae asalia Simba, asaini mkataba mpya
MichezoTangulizi

Bocco nae asalia Simba, asaini mkataba mpya

Spread the love

 

UONGOZI wa klabu ya Simba umemalizana na nahodha wa kikosi hiko John Bocco kwa kumsainisha mkataba mpya mara baada yaw a awali kumaliza mwisho wa msimu wa 2020/21. Anaripotio Kelvin Mwaipungu..

Dakika chache mara baada ya kumsainisha beki wa kushoto Mohammed Hussein, kupitia ukurasa wa Instagram wa klabu hiyo uliweka picha ilionesha nahodha huyo akisaini mkataba mpya kuendelea kukipiga klabuni hapo.

Licha ya kuweka picha hiyo lakini bado haijajulikana Bocco amesaini mkataba wa muda gani na thamani yake haikuwa wazi.

Nahodha huyo kwa sasa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara amepachika jumla ya mabao 10 na kutoa pasi mbili za mabao (assist) na kuwa amehusika katika mabao 12 kati ya 58 yaliyofungwa na klabu hiyo mpaka sasa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awataka watanzania kudumisha muungano

Spread the loveRais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuendeleza Muungano kwa...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

error: Content is protected !!