Saturday , 4 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mgahawa wa viziwi unavyovutia wengi Iringa
Habari MchanganyikoTangulizi

Mgahawa wa viziwi unavyovutia wengi Iringa

Spread the love

 

KUKOSA kiungo kimoja katika mwili wako ama kuwa na ulemavu sio mwisho wa maisha. Anaripoti Hamis Mguta, Iringa…(endelea).

Kauli hii inathibitishwa na mgahawa maarufu wa Neema Craft uliopo mkoani Iringa nchini Tanzania, ambao umeajiri watu wenye ulemavu wa kusikia (viziwi).

Riziki Mgimba, mfanyakazi katika kituo hicho anasema, wahudumu wote pamoja na wapishi katika mgahawa huo ni viziwi na wana uwezo wa kuhudumia wateja bila tatizo.

MwanaHALISI TV, limeweka nanga katika mgahawa huo nakuzungumza naye mengi kuhusu namna wanavyohudumia watu, na sababu ya kuajiri viziwi watupu kwenye mgahawa huo..

Tazama video hapa chini kujua zaidi…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Spread the loveBenki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

error: Content is protected !!