Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mgahawa wa viziwi unavyovutia wengi Iringa
Habari MchanganyikoTangulizi

Mgahawa wa viziwi unavyovutia wengi Iringa

Spread the love

 

KUKOSA kiungo kimoja katika mwili wako ama kuwa na ulemavu sio mwisho wa maisha. Anaripoti Hamis Mguta, Iringa…(endelea).

Kauli hii inathibitishwa na mgahawa maarufu wa Neema Craft uliopo mkoani Iringa nchini Tanzania, ambao umeajiri watu wenye ulemavu wa kusikia (viziwi).

Riziki Mgimba, mfanyakazi katika kituo hicho anasema, wahudumu wote pamoja na wapishi katika mgahawa huo ni viziwi na wana uwezo wa kuhudumia wateja bila tatizo.

MwanaHALISI TV, limeweka nanga katika mgahawa huo nakuzungumza naye mengi kuhusu namna wanavyohudumia watu, na sababu ya kuajiri viziwi watupu kwenye mgahawa huo..

Tazama video hapa chini kujua zaidi…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!