Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mwili wa Dk. Likwalile kuzikwa leo Mpiji Magoe
Habari Mchanganyiko

Mwili wa Dk. Likwalile kuzikwa leo Mpiji Magoe

Dk. Servacius Likwelile
Spread the love

 

MWILI wa katibu mkuu wa zamani wa wizara ya fedha na mipango nchini Tanzania, Dk. Servacius Likwelile, unazikwa leo Jumanne tarehe 23 Februari 2021, Mpiji Magoe, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Dk. Likwalile, alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumamosi, tarehe 20 Februari 2021, katika Hospitali ya Regency, jijini Dar es Salaam.

Ratiba ya mazishi ya mwili wa Dk. Likwalile, aliyewahi kuwa Mhadhiri wa uchumi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ulilala nyumbani kwake, Mbweni.

Asubuhi ya leo, mwili wa Dk. Likwalile, utapelekwa Kigango cha Mtakatifu Yohane Mbatizaji Ndege Beach/Mbweni ambapo pia, kutafanyika shughuli ya kumwombea na kumuaga.

Baada ya shughuli ya kuaga kumalizika hapo, safari ya kwenda Mpiji Magoe, kwa maziko itaanza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Spread the loveBenki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyakazi waidai STAMICO mishahara ya bilioni 1

Spread the loveWALIOKUWA wafanyakazi wa mgodi wa Shirika la Madini la Taifa...

error: Content is protected !!