Wednesday , 29 May 2024
Home Kitengo Michezo Afisa Habari Yanga atupwa jela miaka 3
Michezo

Afisa Habari Yanga atupwa jela miaka 3

Hassan Bumbuli, Afisa Habari wa Yanga
Spread the love

 

AFISA Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amefungiwa miaka mitatu kujihusisha na masuala ya mpira wa miguu baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh. 5,000,000. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Tarehe 28 Septemba 2021, Hassan Bumbuli alitakiwa kulipa kiasi hiko cha fedha baada ya kukutwa na hatia kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kutotakiwa kufanya kosa la kimaadili katika kipindi cha miaka miwili lakini mambo yote hayakutekelezwa.

Taarifa ya kufungiwa Bumbuli imetolewa hii leo tarehe 27 Januari 2021 huku ikieleza kuwa adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia kifungu cha 73 (8)(a) cha maadili ya TFF toleo la 2013.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yakabidhi Kombe la Ubingwa wa Vijana (U20) kwa Kagera Sugar FC

Spread the loveMdhamini mkuu wa Ligi ya Vijana chini ya miaka 20...

Michezo

NBC yakabidhi Kombe la Ubingwa wa  Ligi Kuu ya NBC, yaahidi maboresha zaidi

Spread the loveMdhamini mkuu wa Ligi Kuu ya NBC (NBC Premiere League),...

Michezo

Unamalizaje Jumapili hujabeti na Meridianbet?

Spread the love JUMAPILI ya leo tutashuhudia mitanange kibao ambayo itamalizika kuanzia...

Michezo

Jipigie pesa na Meridianbet leo hii

Spread the love KAMPUNI kubwa ya ubashiri Tanzania inakwambia hivi huu ndio...

error: Content is protected !!