Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Msanii C-Pwaa hatunaye
Habari Mchanganyiko

Msanii C-Pwaa hatunaye

Spread the love

MSANII wa Bongo Fleva, Ilunga Khalifa ‘C-Pwaa’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 17 Januari 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

C-Pwaa aliyefanya kazi na wasanii kadhaa enzi za uhai wake akiwemo Ngwair (marehemu), Dully Sykes pia kundi la Park Lane, amekutwa na mauti katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), alipokuwa akipatiwa matibabu kwa siku nne zilizopita.

Tayari wasanii wenzake wa muziki pia maigizo, wamekuwa wakitoa salamu za pole kwa familia, ndugu na jamaa wa C-Pwaa.

Miongoni mwa ma-poroduza aliowahi kufanya kazi na C-pwaa ni pamoja na P Funk Majani ambaye amethibitisha kifo cha msanii huyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!