Thursday , 2 May 2024
Home Android Bwege anena mazito baada ya kushindwa ubunge
AndroidHabari za Siasa

Bwege anena mazito baada ya kushindwa ubunge

Suleiman Bungara 'Bwege'
Spread the love

ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Selemani Bungara maarufu ‘Bwege’ ametoa msimamo wake wa kisiasa mara baada ya kushindwa ubunge katika uchaguzi uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Hamis Mguta, Kilwa … (endelea).

Bwege ameongoza Jimbo hilo kwa miaka kumi mfululizo akiwa CUF, lakini katika uchaguzi mkuu uliopita, alikuwa akitetea nafasi hiyo kupitia ACT-Wazalendo.

MwanaHALISI Online, limemtembelea Bwege, nyumbani kwake Kilwa Kivinje Mkoa wa Lindi na kuzungumza naye masuala mbalimbali.

Bwege ambaye anakumbukwa akiwa bungeni kuibua misemo mbalimbali ukiwemo ‘We ulisikia wapi?” au “Tunaanza upya” amegusua hatima yake ya kisiasa.

Haya na mengine mengi endelea kutazama mahojiano hayo hapo chini.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!