Sunday , 28 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Dawa ya REGEN- COV2 iliyomtibu Trump yapitishwa
Habari Mchanganyiko

Dawa ya REGEN- COV2 iliyomtibu Trump yapitishwa

Spread the love

DAWA ya virusi vya corona aina ya REGEN- COV2, iliyotumika kumtibu Rais wa Marekani, Donald Trump imeidhinishwa na Mdhibiti wa Dawa Marekani kwa ajili ya watu ambao hawajawa katika hali mbaya. Inaripoti mitandao ya kimataifa.…..(endelea).

Stephen Hahn ambaye ni Kamishna wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA) nchini humo, ndiye aliyethibitisha matumizi ya dawa hiyo.

Amesema, dawa hiyo ina mchanganyiko wa kingamwili mbili na kwamba, ilionesha kupunguza idadi ya wagonjwa wa Covid-19 kulazwa pia kupunguza idadi ya wagonjwa wenye dalili kwenye vyumba vya dharura.

Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump

Matibabu ya kingamwili ya Regeneron ni ya pili kuhidhinishwa kwa jili ya matumizi ya dharura kutoka FDA baada ya tiba kama hiyo iliyotengenezwa na Eli Lilly kupewa idhini tarehe 9 Novemba 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari Mchanganyiko

Dk. Jafo aipongeza Oryx kumuunga mkono Samia

Spread the loveWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na...

Habari Mchanganyiko

Mvungi aendesha kikao kazi cha wataalam wa Regrow

Spread the love  MKURUGENZI wa Idara Sera na Mipango Wizara ya Maliasili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

error: Content is protected !!