Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Dawa ya REGEN- COV2 iliyomtibu Trump yapitishwa
Habari Mchanganyiko

Dawa ya REGEN- COV2 iliyomtibu Trump yapitishwa

Spread the love

DAWA ya virusi vya corona aina ya REGEN- COV2, iliyotumika kumtibu Rais wa Marekani, Donald Trump imeidhinishwa na Mdhibiti wa Dawa Marekani kwa ajili ya watu ambao hawajawa katika hali mbaya. Inaripoti mitandao ya kimataifa.…..(endelea).

Stephen Hahn ambaye ni Kamishna wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA) nchini humo, ndiye aliyethibitisha matumizi ya dawa hiyo.

Amesema, dawa hiyo ina mchanganyiko wa kingamwili mbili na kwamba, ilionesha kupunguza idadi ya wagonjwa wa Covid-19 kulazwa pia kupunguza idadi ya wagonjwa wenye dalili kwenye vyumba vya dharura.

Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump

Matibabu ya kingamwili ya Regeneron ni ya pili kuhidhinishwa kwa jili ya matumizi ya dharura kutoka FDA baada ya tiba kama hiyo iliyotengenezwa na Eli Lilly kupewa idhini tarehe 9 Novemba 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

GGML yasisitiza kuendelea kuimarisha afya za wafanyakazi

Spread the loveKAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited kwa kushirikiana na kampuni...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

error: Content is protected !!