Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Dawa ya REGEN- COV2 iliyomtibu Trump yapitishwa
Habari Mchanganyiko

Dawa ya REGEN- COV2 iliyomtibu Trump yapitishwa

Spread the love

DAWA ya virusi vya corona aina ya REGEN- COV2, iliyotumika kumtibu Rais wa Marekani, Donald Trump imeidhinishwa na Mdhibiti wa Dawa Marekani kwa ajili ya watu ambao hawajawa katika hali mbaya. Inaripoti mitandao ya kimataifa.…..(endelea).

Stephen Hahn ambaye ni Kamishna wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA) nchini humo, ndiye aliyethibitisha matumizi ya dawa hiyo.

Amesema, dawa hiyo ina mchanganyiko wa kingamwili mbili na kwamba, ilionesha kupunguza idadi ya wagonjwa wa Covid-19 kulazwa pia kupunguza idadi ya wagonjwa wenye dalili kwenye vyumba vya dharura.

Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump

Matibabu ya kingamwili ya Regeneron ni ya pili kuhidhinishwa kwa jili ya matumizi ya dharura kutoka FDA baada ya tiba kama hiyo iliyotengenezwa na Eli Lilly kupewa idhini tarehe 9 Novemba 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mchina wa SGR aburuzwa kortini kwa kumjeruhi Mtanzania, TRC waja juu

Spread the love  RAIA wa China, Zheng Yuan Feng, amefikishwa mahakamani kwa...

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata, Mitaa watakaoshindwa kusimamia usafi kukiona

Spread the love  WATENDAJI wa kata, mitaa na vitongoji na maofisa afya...

Habari Mchanganyiko

Mtia nia urais TLS kukata rufaa kupinga kuenguliwa

Spread the love  MTIA nia ya kugombea Urais wa Chama cha Mawakili...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM zake

Spread the loveBENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza uzinduzi wa kampeni...

error: Content is protected !!