Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Michezo Tanzania Prisons yakabidhiwa gari jipya
Michezo

Tanzania Prisons yakabidhiwa gari jipya

Basi jipya la timu ya Tanzania Prisons
Spread the love

KAMISHNA wa Magereza Tanzania, Jenerali Suleiman Mzee ameikabishi klabu ya Tanzania Prisons basi dogo aina ya Toyota Coaster itakayotumika na timu hiyo katika michezo mbalimbali ikiwamo Ligi Kuu Tanzania Bara. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Katika makabidhiano hayo Mkuu wa sehemu ya michezo ndani ya jeshi hilo SSP Matrida Mlawa amesema kuwa wanamshukuru Jenerali Mzee kwa kuwapatia usafiri huo ambao utaisaidia timu na kutatua changamoto za usafiri.

“Tunamshukuru Jenerali wa Magereza, Kamanda Mzee kwa kuiwezesha kuipatia timu ya Tanzania Prisons gari ambalo litawasaidia katika safari kwenye michezo mbalimbali ikiwemo ya Ligi Kuu,” alisema Matrida.

 Aidha Matrida aliongezea kuwa wanaimani kubwa na Jenerali Mzee na wanamini ataisadia klabu hiyo ili iweze kusonga mbele.

Kwa sasa Prisons inashika nafasi ya nane, kwenye msimamo wa Ligi Kuu baada ya kujikusanyia alama 41 baada ya kucheza michezo 30.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa tu kutoka Meridianbet

Spread the love  IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa,...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

error: Content is protected !!