Saturday , 4 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Idd Simba afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Idd Simba afariki dunia

Marehemu Idd Simba, enzi wa uhai wake
Spread the love

MFANYABIASHARA, Mbunge wa zamani wa Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Idd Simba (85) amefariki dunia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kutoka ndani ya familia yake zinaeleza, Simba amefariki leo tarehe 13 Februari 2011, wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).

Taarifa za kifo cha Simba ambaye alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara katika Serikali ya Awamu ya Tatu, chini ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, zimedhibitishwa na mtoto wake Sauda Simba Kilumanga.

Sauda ameeleza kwamba, taratibu za msiba huo bado hazijapangwa, na kwamba utaratibu utaeleza hapo baadaye.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Spread the loveBenki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyakazi waidai STAMICO mishahara ya bilioni 1

Spread the loveWALIOKUWA wafanyakazi wa mgodi wa Shirika la Madini la Taifa...

error: Content is protected !!