Sunday , 3 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Idd Simba afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Idd Simba afariki dunia

Marehemu Idd Simba, enzi wa uhai wake
Spread the love

MFANYABIASHARA, Mbunge wa zamani wa Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Idd Simba (85) amefariki dunia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kutoka ndani ya familia yake zinaeleza, Simba amefariki leo tarehe 13 Februari 2011, wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).

Taarifa za kifo cha Simba ambaye alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara katika Serikali ya Awamu ya Tatu, chini ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, zimedhibitishwa na mtoto wake Sauda Simba Kilumanga.

Sauda ameeleza kwamba, taratibu za msiba huo bado hazijapangwa, na kwamba utaratibu utaeleza hapo baadaye.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

20 wafariki dunia kwa mafuriko Manyara

Spread the loveMVUA za vuli zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara...

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Spread the loveAfisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri...

Habari Mchanganyiko

TARURA kujenga madaraja 189 kwa teknolojia ya mawe

Spread the loveWakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imejipanga kujenga...

AfyaHabari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya Ukimwi

Spread the loveWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining...

error: Content is protected !!