Sunday , 28 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Chadema yalizwa Njombe
Habari Mchanganyiko

Chadema yalizwa Njombe

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe, Edwin Swale
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaugulia maumivu baada ya mwenyekiti wake katika Mkoa wa Njombe, Edwin Swale kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Tukio la Swale kuhamia CCM limefanyika tarehe 6 Oktoba 2019, katika ofisi chama hicho Wilaya ya Njombe ambapo mwanachama huyo mpya amekabidhiwa kadi.

Wakati akitimkia CCM, Swale amedai kwamba amevutia na kazi zinazofanywa na Rais John Magufuli hivyo amwekenda CCM kuungana naye.

Mwanachama huyo mpya wa CCM, mwaka 2015 aliwahi kugombea ubunge katika Jimbo la Lupembe kupitia Chadema

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mvungi aendesha kikao kazi cha wataalam wa Regrow

Spread the love  MKURUGENZI wa Idara Sera na Mipango Wizara ya Maliasili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

Polisi wakanusha kufanya uzembe ajali iliyouwa mwandishi Ayo Tv

Spread the loveJESHI la Polisi limekanusha tuhuma zilizoibuliwa dhidi yake  kwamba limekawia...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kuzindua gazeti litakalotoa habari za wafanyakazi Tanzania

Spread the loveSHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), liko mbioni kufufua...

error: Content is protected !!