Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli amteua Mwenyekiti mpya wa TANROADS
Habari za Siasa

Rais Magufuli amteua Mwenyekiti mpya wa TANROADS

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS John Magufuli amemteua Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Lucas Nyaoro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo tarehe 11 Oktoba 2018 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu.

“Uteuzi wa Dk. Nyaoro umeanza tarehe 10 Oktoba 2018,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa, Dk. Nyaoro anachukua nafasi ya Hawa Magogo aliyemaliza muda wake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!