Sunday , 23 June 2024

Month: June 2024

Biashara

Kibaha na Meridianbet waendeleza ushirikiano

Meridianbet wameendelea kua na ushirikiano na wakazi waKibaha kwani leo tena wamefanikiwa kufika eneo hilo nakutoa msaada kwa wakazi wa hapo. Utamaduni huo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Wolfang Rais mpya TEC, Padri Kitima aula tena

BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetambulisha safu mpya za viongozi watakaoongoza baraza hilo kwa miaka mitatu hadi 2027 huku aliyekuwa Katibu Mkuu...

Biashara

Meridianbet kasino inatoa mgao wa Tsh 2,500,000/= leo 

  Cheza na Ushinde bonasi ya kasino kupitia michezo mingi ya kasino ya mtandaoni, lakini lazima iwe michezo ya Expanse inakupa bonasi hadi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Washiriki mbio za NBC Dodoma Marathon kutumia treni ya SGR kwenda Dodoma

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji na Shirika la Reli Tanzania (TRC) yanatoa fursa kwa shirika kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Padre anayetuhumiwa mauaji ya Asimwe, asimamishwa

Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha kutoa huduma za kichungaji Padri Elipidius Rwegoshora kutokana na tuhuma za kuhusika katika mauaji ya mtoto Asimwe...

Habari Mchanganyiko

Upandaji miti uzingatie kuondoa umaskini kwa wananchi

KATIBU Tawala wa mkoa wa Morogoro Dk. Musa Ally Musa amewataka wadau wa mazingira kuzingatia suala la upandaji  miti kwa ajili ya utunzaji...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali yaahidi kushirikiana na Prof. Ndakidemi kuhamasisha zao la kahawa

Serikali imeahidi kuungana na Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi (CCM), wakulima kutumia njia mbadala ya matumizi ya madawa kwenye uzalishaji wa...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mwanajeshi amuua mchungaji baada ya kumfuma na mkewe kitandani kwake

Hali ya simanzi imetanda katika kijiji kimoja huko Kapsabet kaunti ya Nandi nchini Kenya baada ya Ofisa wa Jeshi la nchini hiyo (KDF)...

BiasharaHabari MchanganyikoHabari za Siasa

IMF yaimwagia Tanzania trilioni 2.4 kukabili mabadiliko ya hali ya hewa

Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) jana Alhamisi limesema bodi yake ya utendaji imeidhinisha ufadhili wa dola milioni 786.2 (Sh trilioni 2) kwa...

Habari za SiasaKimataifa

Mmoja afariki, 30 wajeruhiwa maandamano Kenya

Mtu mmoja ameripotiwa kuuawa na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa katika maandamano yaliyofanyika jana Alhamisi na kuenea nchini Kenya kupinga mapendekezo muswada tata...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Nape awaomba wadau wa habari wamuamini

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba wadau wa sekta ya habari kuwa na imani naye kuhusu vifungu 12...

Biashara

Meridianbet kasino inakurejeshea 10% ya unachopoteza

Unaijua Kasino wewe!? Je, ni mara ngapi umewahi kupigwapesa zako? Sasa usiwaze tena kuhusu kuliwa tu, Kasino yaMeridianbet mtandaoni inakurudishia 10% ya kileunachopoteza...

Michezo

Ukiwa na Meridianbet ni kula pesa tu

  Alhamisi ya leo mechi za EURO zinazidi kuendelea huku kila timu ikihitaji pointi tatu muhimu kwenye mechi hizi za pili. Wewe unaihitaji...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Guinea Bissau, Samia kuteta namna ya kudhibiti malaria

Rais wa Jamhuri ya Guinea Bissau na Mwenyekiti wa Taasisi ya Muungano wa Viongozi wa Afrika katika Kudhibiti Malaria (ALMA), Umaro Sissoco Embaló...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wanunuzi wa madini Songwe wampa tano Samia kupaisha sekta ya madini

WANUNUZI wa madini ya dhahabu mkoani Songwe wamempongeza Rais Samia SuluhuHassan kwa kufanya mapinduzi ya kiuchumi katika sekta hiyo kwa kuiwezesha kupaa maradufu...

Habari Mchanganyiko

Madereva bodaboda wapewa ujumbe

MADEREVA wawanaosafirirsha abiria kwa kutumia pikipiki (bodaboda), wametakiwa kuendelea kufanya shughuli zao kwa umakini kwa kuwa kazi hiyo ndiyo inayowapa riziki ya kuendesha...

Habari za SiasaTangulizi

Bashe apasua mtumbwi CCM

  HUSSEIN Mohammed Bashe, waziri wa Kilimo, amekiweka pabaya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kufuatia kuibuka kwa madai kuwa ameshiriki katika ukiukwaji wa sheria, rushwa...

Biashara

Cheza kasino, mchezo wa American Roulette utajirike  

  Kasino Imetawaliwa na michezo mingi, kuna mchezo wa Roulette ambao Dkt Jerecki ndiye muanzilishi wa mchezo huo wa kasino ya mtandaoni, ambapo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Dk. Mpango ahani msiba wa RAS Kilimanjaro

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema watumishi wa Umma wanapaswa kumuenzi aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Baba mzazi, mganga, paroko wadakwa mauaji ya mtoto mwenye ualbino

HATIMAYE Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa tisa wakiwa na viungo vinavyodhaniwa ni vya mtoto Asimwe Novart mwenye ualbino, wakiwa wamevihifadhi katika vifungashio vya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Washindi wa NMB wamwagiwa zawadi

WASHINDI wa Kampeni ya Weka, Tumia na Ushinde Kutoka Benki ya NMB, leo Jumatano wamekabidhiwa zawadi huku umati mkubwa wa wakazi wa Dodoma...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali yaahidi kushirikiana na UNCDF, EU kusaidia ajenda nishati safi

Imeelezwa kuwa, Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) na washirika wengine wa maendeleo wamekuwa msaada mkubwa katika kusaidia Ajenda ya Nishati Safi ya...

Habari Mchanganyiko

Askofu Mkuu Dk. Chidawali akemea mauaji ya albino

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Gospel Christ Church Tanzania (GCCT) Dk. Daud Chidawali amekemea vikali vitendo vya baadhi ya watu wenye imani...

Habari Mchanganyiko

CTI yampongeza Rais Samia kwa bajeti inayojali kukuza viwanda vya ndani

SHIRIKISHO la Wenye Viwanda (CTI), limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka bajeti inayojali kusisimua ukuaji wa viwanda na biashara nchini. Anaripoti Na...

Habari Mchanganyiko

CCM Igunga wanolewa kuhusu sheria usalama barabarani

Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Igunga mkoani Tabora, waliogawiwa pikipiki kwa ajili ya shughuli za chama wilayani humo, wametakiwa kufuata...

Elimu

Nanyaro aokoa wanafunzi kutembea kilomita 3 kuchota maji

MDAU wa maendeleo mkoani Songwe, Ombeni Nanyaro amechangia kiasi cha Sh. milioni moja kwa ajili ya kuunganisha maji na kukarabati bweni la wanafunzi...

Biashara

Kasino ni unyama sana! Cheza kupitia Meridianbet

  Kasino Inalipa sana! Watu wengi wametajrika kwa kucheza kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Sababu kubwa zipo mbili, kwanza ni rahisi kucheza kasino,...

Michezo

Leo pesa utaipatia kwa Ureno na Uturuki ukiwa na Meridianbet

  Kama kawaida michuano ya EURO 2024 inazidi kupamba moto huku vichapo navyo vikiendelea kutembea kama kawaida. Suka jamvi lako na mabingwa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aeleza alivyomsitiri kaka yake kwa kutolipwa mishahara, ataka waajiri kulipa wafanyakazi

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoboa siri namna alivyomsitiri kaka yake kwa kumlipia kodi, usafiri na matumizi mengine kwa muda wa zaidi ya miezi...

Habari za SiasaTangulizi

Mazingira magumu ya JPM yamechangia ‘Comedy Journalism’

Mwenyekiti wa Kamati ya kufuatilia hali ya uchumi wa vyombo vya Habari, Tido Mhando amesema kutokana na mazingira magumu ya kisheria na kisiasa...

Habari Mchanganyiko

CoRI: Waandishi wa habari 16,000 hawana mikataba ya ajira Tz

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chamalila amemthibishia Rais Samia Suluhu Hassan kuwa sasa ameacha ubabe na kuwataka viongozi wengine wa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

RC Chalamila: Nimeacha ubabe

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chamalila amemthibishia Rais Samia Suluhu Hassan kuwa sasa ameacha ubabe na kuwataka viongozi wengine wa...

Biashara

Cheza shindano la Expanse Kasino, utajiri unawezakanaP

Endelea kucheza kasino ya mtandaoni na uwe tajiri! Expanse Tournament inatoa mzigo mkubwa wa washindi 40, jishindie bonsai za kasino kwa kushiriki michezo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia atoa ujumbe mzito Sikukuu Eid Al Adha

KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Eid Al Adha, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan mbali na kuwatakia kheri Watanzania katika sikukuu hiyo, pia ameshiriki...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wachimba chokaa 300 waomba mikopo kuondokana na matumizi ya kuni

KUNDI la vijana wanaojishughulisha na uchimbaji wa chokaa katika kijiji cha Nanyala wilayani Mbozi mkoani Songwe wameiomba serikali na wadau wengine kuwapatia mikopo...

Habari Mchanganyiko

Bihimba achangia matofali 500 ujenzi msikiti Chanika

Mwanaharakati huru Bihimba Nassoro Mpaya ametoa Sh 500,000 kwa ajili ya kununua matofali 500 ambayo yatatumika katika ujenzi wa Msikiti unaotarajia kuingia wauminiwa...

BiasharaHabari za Siasa

Dk. Biteko aipongeza NMB kwa kuanzisha utoaji wa bima ya mifugo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Benki ya NMB kwa kuanza kutoa bima ya mifugo inayolenga kupunguza hatari...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wanaharakati: Uzimaji Intaneti ni ukiukwaji wa haki za binadamu

WANAHARAKATI vijana nchini Tanzania wamesema kitendo cha Serikali kuzima intaneti wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020, kimekiuka mikataba ya kimataifa pamoja na Katiba...

Michezo

Leo Uingereza, Uholanzi zote kukupa pesa

Siku ya leo EURO 2024 kupigwa katika viwanja mbalimbali, na tayari Meridianbet wameshakuwekea machaguo yote ambayo unayataka. Ingia Meridianbet sasa na usuke jamvi...

Biashara

Mchezo wa Planet 67 Ishi maajabu yake kasino.

Mfumo wa jua una sayari 9, lakini  wanasayansi wanasema kunaZaidi ya sayari zimeonekana na uchunguzi unaendelea, Meridianbet nakupeleka hadi  nje ya dunia, safari...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia amng’oa Matinyi Maelezo, ateua viongozi mbalimbali

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwamo Thobias Makoba kuwa Mkurugenzi wa ldara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wva...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yaja na suluhisho la maji kwa wakazi wa Sinza C,D

Wakazi wa Kata ya Sinza, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam wametolewa hofu ya upatikanaji wa huduma ya maji kwenye maeneo yao...

Biashara

Expanse Tournament shindano la utajiri ndani ya kasino

Shindano la Expanse ndani ya meridianbet Kasino yaMtandaoni inakupatia Tsh Milioni Nne, Laki Saba na ElfuHamsini, ukicheza michezo ya sloti, jisajili Merdianbetkufurahia promosheni...

BiasharaHabari za Siasa

Tanesco yawasha mtambo namba 8 Bwawa Julius Nyerere

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema tayari mtambo namba nane kutoka kwenye Mradi wa kufua umeme wa Julius...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Samia: Wakuu wa mikoa, wilaya wanaendeleza ubabe

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema bado wakuu wa wilaya na mikoa hawafuati waraka uliotolewa na Serikali unaoelekeza uzingatiaji wa sheria na kanuni katika...

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa na EURO hapa Meridianbet

  Baada ya jana kushuhudia mechi kali ya ufunguzi wa michuano ya EURO, Leo kama kawaida mechi hizo zinaendelea ambapo viwanja vitatu kuwaka...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Vitalu 19 vya madini vyazalisha ajira 12,000 Songwe

ZAIDI ya vijana 12,000 kutoka Wilaya ya Songwe mkoani Songwe wamepata fursa ya ajira katika migodi ya wachimbaji wadogo na wa kati baada...

Habari Mchanganyiko

Mmoja auawa kwa tuhuma za kuiba sokoni, Polisi walaani

Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina lake  ameuawa  na wananchi wenye hasira kali baada ya  kujaribu kuiba katika duka moja lililopo kwenye Soko la...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Ramaphosa achaguliwa tena kuwa rais Afrika Kusini

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amechaguliwa na wabunge wa nchi hiyo kuanza muhula wa pili madarakani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea)....

Biashara

Bonasi ya ukaribisho hadi Tsh 2,500,000/= ukijisajili Meridianbet kasino

  Ofa kubwa kwaajili yako unayejisajili kwa mara yakwanza na ukaweka salio kiwango cha kuanzia5,000/= kisha upate bonasi ya kasino hadi asilimia200% kama...

error: Content is protected !!