Saturday , 27 April 2024
Habari za Siasa

Zitto apigwa kalenda

Spread the love

HAKIMU Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam, Huruma Shaidi ameahirisha kesi ya uchochezi namba 327/2018, inayomkabili Zitto Kabwe kutokana na shahidi wa Jamhuri kutohudhuria. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Leo tarehe 22 Novemba 2019, Wakili wa Serikali Mwanandamizi, Nassoro Katuga na Wakili wa Mkuu Serikali, Tumaini Kweka wameieleza mahakama hiyo, kuwa shahidi wao anumwa.

Zitto ambaye ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, anatuhumiwa kufanya uchochezi alipozungumza na waandishi wa habari tarehe 18 Desemba 2018, makao makuu ya chama hicho Kijitonyama, jijini Dar es Salaam kuhusu mauaji yaliyotokea Uvinza, mkoani Kigoma

Hakimu Shaidi ameahirisha shauri hilo mpaka tarehe 3 Desemba 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!