Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wanafunzi saba waangukiwa jengo, wafariki
Habari Mchanganyiko

Wanafunzi saba waangukiwa jengo, wafariki

Spread the love

WANAFUNZI saba wa Shule ya Msingi Precious Talent, katika eneo la Ngado, Nairobi nchini Kenya wameripotiwa kufariki baada ya kuangukiwa na jengo la darasa. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Tukio hilo limetokea leo Jumatatu tarehe 23 Septemba 2019 saa 1 asubuhi

Duru kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu ndani ya Nairobi zinaeleza, shughuli za uokozi zinaendelea na ndani ya saa tatu zilizopita wanafunzi wanne wamefikishwa katika hospitali ya taifa ya Kenyatta (KNM). Tayari wanafunzi zaidi ya 50 wametolewa kwenye vifusi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!