Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sheikh Ponda atii sheria bila shuruti, ajisalimisha Polisi
Habari za SiasaTangulizi

Sheikh Ponda atii sheria bila shuruti, ajisalimisha Polisi

Sheikh Ponda, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Taasisi za Kiislam Tanzania
Spread the love

SHEIKH Issa Ponda, Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania amethibitisha kuwa anaheshimu mamlaka na sheria kutokana kutii wito wa Jeshi la Polisi, anaandika Faki Sosi.

Sheikh Ponda amewasili Kituo kikuu cha Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam majira ya saa nne asubuhi.

Wito huo ulitolewa Jana na Kamanda wa Polisi Kanda hiyo, Lazaro Mambosasa alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo alimpa siku tatu kujisalimisha kituoni hapo.

Juzi Jeshi la Polisi lilivamia mkutano uliofanywa na Sheikh Ponda na waandishi wa habari kwenye Hotel ya Iris jijini Dar es Salaam kwa lengo la kumtia mbaroni.

Hata hivyo Polisi walimkosa Sheikh Ponda.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!