Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli amteuwa Mkurugenzi mpya NIDA
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amteuwa Mkurugenzi mpya NIDA

Spread the love

RAIS John Magufuli leo tarehe 3 Oktoba 2018 amemteua Dk. Arnold Mathias Kihaule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa.

Sehemu ya taarifa hiyo inaeleza kwa, uteuzi wa Dk. Kihaule unaanza leo.

Kabla ya uteuzi huo, Dk. Kihaule alikuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU)

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!