Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli afanya uteuzi Wizara ya Fedha na TRA
Habari za Siasa

Rais Magufuli afanya uteuzi Wizara ya Fedha na TRA

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amemteua Adolf Ndunguru kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango anayeshughulikia Sera ambayo ilikuwa wazi. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea).

Kabla ya uteuzi huo Nduguru alikuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambapo kufuatia uteuzi huo Rais amemteua Msafiri Mbibo kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA.

Mbibo kabla ya kuteuliwa kwenye nafasi hiyo alikuwa Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa taatifa kutoka Ikulu iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu uteuzi huo unaanza mara moja leo Machi 31, 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!