Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Raia wa Hungary kortini kwa dawa za kulevya
Habari Mchanganyiko

Raia wa Hungary kortini kwa dawa za kulevya

Spread the love

AKOS Berger, Raia wa Hungary amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka ya kuhujumu uchumi na kukutwa dawa za kulevya. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Mbele ya Hakimu Mkazi, Maira Kasonde, Groria Mwenda Wakili wa Serikali amemsomea mashtaka moja Berger ya uhujumu uchumi na kukutwa na dawa za kulevya.

Wakili Mwenda amedai kuwa tarehe 19 Julai Mwaka huu akiwa eneo la Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, alikuwa akisafirisha dawa za kulevya kilogramu 250 aina ya Psychotropic.

Mshitakiwa huyo hakutakiwa kujibu chochote kutokana na kushitakiwa kwa hati ya uhujumu uchumi.

Mshitakiwa amerejeshwa mahabusu mpaka tarehe 9 Agosti Mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!