Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mwanasheria Mack Boman afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mwanasheria Mack Boman afariki dunia

Spread the love

MWANASHERIA Mkuu wa kwanza Tanzania, Mark Bomani amefariki dunia usiku wa kumakia leo tarehe 11 Septemba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa zilizopatikana mpaka sasa kutoka kwa wanafamilia wa mwanasheria huyo zinasema, Bomani (76) amefariki dunia alipokuwa akipata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhmbili (MNH), jijini Dar es Salaam, hata hivyo haijaelezwa maradhi yaliyokuwa yakimsumbua.

Bomani aliongoza Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuanzia mwaka 1965 hadi 1976 chini ya serikali ya kwanza ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!