Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Moto wateketeza jengo Coco Beach
Habari Mchanganyiko

Moto wateketeza jengo Coco Beach

Spread the love

JENGO moja katika fukwe ya Coco Beach, limeteketea kwa moto mchana wa leo tarehe 22 Septemba 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Jenipher Shirima, Kamanda wa Zimamoto Kinondoni amesema, chanzo cha moto huo bado hakijajukikana.

Shirima ameeleza kuwa, wamepokea taarifa ya moto huo majira ya saa 7.54 mchana, ambapo Jeshi la Zimamoto lilifanikiwa kuudhibiti moto huo.

Hata hivyo, Shirima amesema gari moja la zimamoto limepata ajali njiani likielekea kuzima moto huo.

“Majira ya saa 7.54 tulipokea litokea taarifa ya moto uliowaka kwenye baa maeneo ya Coco Beach, gari yetu ya kwanza iliondoka haraka kwa ajili ya kufika eneo la tukio na walipokea taarifa kwamba moto ni mkubwa inabidi tuongeze nguvu na kwa bahati mbaya wakati gari ya pili inaelekea maeneo hayo ikaanguka,” amesema Shirima.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!