Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbowe akamatwa jimboni kwake
Habari za Siasa

Mbowe akamatwa jimboni kwake

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Chadema Kanda ya Kaskazini kupitia ukurasa wake wa Twitter, Mbowe amekamatwa leo tarehe 28 Februari 2020, baada ya kumaliza kufanya mkutano wa hadhara jimboni kwake.

Taarifa ya kanda hiyo imedai kuwa, Polisi hawakueleza sababu za kumkamata Mbowe.

Mbowe alifanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Nkoromu kwenye Kata ya Masama, Wilayani Hai.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!