Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Makonda: Mashoga wamekimbia Dar, wamehamia Dodoma
Habari Mchanganyiko

Makonda: Mashoga wamekimbia Dar, wamehamia Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
Spread the love

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuna baadhi ya watu wanaofanya biashara ya kuuza mwili (machangudoa na mashoga) wamehamia Dodoma ili kutafuta soko. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Makonda ameyasema hayo wakati akizungumza na wanahabari leo tarehe 31Oktoba 2018 jijini Dar es Salaam.

Amesema, tangu serikali itangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi, kuna watu walishaanza kutangulia mkoani humo, ambapo wengi wao wanatoka jijini Dar es Salaam.

“Na kama mnakumbuka pale waliposema makao makuu ya nchi yanakuwa Dodoma kuna watu walishaanza kutangulia Dodoma kama sehemu ya kujua soko lao linapatikana kule, na hao wanaofanya hivyo wanatoka Dar es Salaam,” amesema na kuongeza.

“Kuna watu wametoka Buguruni wameanzisha madanguro yao Bagamoyo, Mpanda Arusha  na Dodoma.Sio jambo jema.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!