Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maalim Seif, Bimani mikononi mwa polisi Pemba
Habari za Siasa

Maalim Seif, Bimani mikononi mwa polisi Pemba

Spread the love

MAALIM Seif Sharif Hamad na Salim Biman, wapo njiani kuelekea Pemba kuitikia wito wa Jeshi la Polisi wilayani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea).

Maalim Seif, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Bimani ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wanaitikia wito huo leo tarehe 14 Januari 2020, katika kituo cha Polisi Wilaya ya Wete.

Pamoja na kuitikia wito huo, hakuna taarifa zaidi zilizoelezwa kuhusu lengo la wito huo. MwanaHALISI Online linaendelea kufuatilia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!