Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu akamatwa na Polisi, aletwa Dar
Habari za SiasaTangulizi

Lissu akamatwa na Polisi, aletwa Dar

Tundu Lissu, Rais wa TLS
Spread the love

TUNDU Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria wa Chadema, amekatwa na polisi nje ya Bunge na kupelekwa jijini Dar es Salaam, anaandika Faki Sosi.

Tukio hilo limetokea leo jioni baada ga Lissu kutoka bungeni lakini haijafahamika mara moja amekamatwa kwa kosa gani.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amethibitisha kukamatwa kwa Lissu lakini hajajua sababu ya kukamatwa kwake.

“Kweli Lissu amekamatwa na kupakiwa kwenye Land Cruiser ya Polisi na kupelekwa Dar, lakini hatujajua amefanya kosa gani,” amesema Mbowe.

MwanaHALISI Online inaendelea kufuatilia tukio hilo na litakujuza kinachoendelea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

error: Content is protected !!