Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo JKT Tanzania yaitangulia Yanga
Michezo

JKT Tanzania yaitangulia Yanga

Spread the love

MLINZI wa kulia wa timu ya JKT Tanzania, Michael Aidan ameifungia bao timu hiyo dhidi ya Yanga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)

Mchezo huo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) unapigwa dimba la Jamhuri jijini Dodoma leo Jumatano tarehe 17 Juni 2020.

Aidan ameifungia bao hilo dakika 35 ya kipindi cha kwanza kwa shuti kali lililomshindi mlinda mlango wa Yanga, Metacha Mnata

Katika kipindi hicho cha kwanza, timu hizo zimeshambuliana zamu.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE & MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!