Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo JKT Tanzania yaitangulia Yanga
Michezo

JKT Tanzania yaitangulia Yanga

Spread the love

MLINZI wa kulia wa timu ya JKT Tanzania, Michael Aidan ameifungia bao timu hiyo dhidi ya Yanga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)

Mchezo huo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) unapigwa dimba la Jamhuri jijini Dodoma leo Jumatano tarehe 17 Juni 2020.

Aidan ameifungia bao hilo dakika 35 ya kipindi cha kwanza kwa shuti kali lililomshindi mlinda mlango wa Yanga, Metacha Mnata

Katika kipindi hicho cha kwanza, timu hizo zimeshambuliana zamu.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE & MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!