MLINZI wa kulia wa timu ya JKT Tanzania, Michael Aidan ameifungia bao timu hiyo dhidi ya Yanga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)
Mchezo huo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) unapigwa dimba la Jamhuri jijini Dodoma leo Jumatano tarehe 17 Juni 2020.
Aidan ameifungia bao hilo dakika 35 ya kipindi cha kwanza kwa shuti kali lililomshindi mlinda mlango wa Yanga, Metacha Mnata
Katika kipindi hicho cha kwanza, timu hizo zimeshambuliana zamu.
Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE & MwanaHALISI TV kwa habari zaidi
Leave a comment