Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Huyu ndiye Lissu, alianza kupinga dhuluma akiwa mdogo
Habari za SiasaTangulizi

Huyu ndiye Lissu, alianza kupinga dhuluma akiwa mdogo

Spread the love

MDOGO wake, mwanasiasa machachari, Tundu Lissu, Vincent Lissu amefunguka na kueleza maisha ya kaka yake tangu akiwa anasoma shule ya msingi,  huku akisema ndugu yake alianza harakati za kupinga  ufisadi na kuonewa tangu miaka miaka ya 80.

Lissu ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa sasa ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema).

Vincent akizungumza na MwanaHALISI online, amesema ndugu yake Lissu ana msimamo usioyumba tangu akiwa mdogo na kwamba ameendelea kuishi hivyo mpaka leo.

“Kaka yangu amekuwa mtetezi wa haki tangu akiwa mdogo sana na hakupenda kuona uonevu mbele ya macho yake,” ndivyo anavyosema Vincent.

HAYA NI MAELEZO YA VICENT KUHUSU KAKA YAKE LISSU PAMOJA NA KUTOA HISTORIA YAKE, USISAHAU KU-SUBSCRIBE CHANNEL YETU YA YOUTUBE (MwanaHALISI TV)

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!