RAIS John Magufuli amepinga wizi ulifanyika dhidi ya TTCL kwa kuinyanganya kampuni yake tanzu ya Airtel na kumtaka Waziri wa Fedha, Philip Mpango kuchunguza utaratibu uliotumika kuuzwa kwa kampuni hiyo. MwanaHALISI Online liliwahi kuandika kwa kina kuhusu wizi huo miaka miwili iliyopita.
Tujikumbushe kwa kurejea makala hiyo hapa chini jinsi kampuni hiyo ilivyouzwa kwa wawekezaji.
* TTCL yafilisika, yapata hasara ya bil 300, haikopesheki
Leave a comment