Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo FIFA yamfungia maisha kiongozi CAF
Michezo

FIFA yamfungia maisha kiongozi CAF

Kwesi Nyantakyi
Spread the love

SHIRIKISHO la Mpiwa wa Miguu Duniani (FIFA) limemfungia maisha kujihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka nchini Ghana (GFA), Kwesi Nyantakyi baada ya kukutwa na hatia ya kupokea rushwa ya kiasi cha dola 65,000 kutoka kwa mwandishi wa shirika la habari la England, Anas Aremeyaw. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endeleaa). 

Shirikisho hilo lilifanya uchunguzi kwa kina kujua kama kweli alihusika kupokea kiasi hicho cha pesa kutoka kwa mwandishi huyo ambaye alitumwa kwa kazi maalum ya kupima uaminifu wa rais huyo na baadaye kumkuta na hatia na kuchukua maamuzi hayo.

Baada ya tuhuma hizo Nyantakyi ambaye aliwahi kuwa Makamu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) na mjumbe wa halmashauli kuu ya Fifa alijiuzuru nafasi yake ya urais GFA mwezi juni na kujivua nyadhifa zake zote za CAF na FIFA ingawa hakuna mahari alipo kubali kuwa alipokea kiasi hicho cha fedha.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!