Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo FIFA yamfungia maisha kiongozi CAF
Michezo

FIFA yamfungia maisha kiongozi CAF

Kwesi Nyantakyi
Spread the love

SHIRIKISHO la Mpiwa wa Miguu Duniani (FIFA) limemfungia maisha kujihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka nchini Ghana (GFA), Kwesi Nyantakyi baada ya kukutwa na hatia ya kupokea rushwa ya kiasi cha dola 65,000 kutoka kwa mwandishi wa shirika la habari la England, Anas Aremeyaw. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endeleaa). 

Shirikisho hilo lilifanya uchunguzi kwa kina kujua kama kweli alihusika kupokea kiasi hicho cha pesa kutoka kwa mwandishi huyo ambaye alitumwa kwa kazi maalum ya kupima uaminifu wa rais huyo na baadaye kumkuta na hatia na kuchukua maamuzi hayo.

Baada ya tuhuma hizo Nyantakyi ambaye aliwahi kuwa Makamu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) na mjumbe wa halmashauli kuu ya Fifa alijiuzuru nafasi yake ya urais GFA mwezi juni na kujivua nyadhifa zake zote za CAF na FIFA ingawa hakuna mahari alipo kubali kuwa alipokea kiasi hicho cha fedha.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!