Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Fellaini ashika namba nne kulipwa mshahara mnono Man United
Michezo

Fellaini ashika namba nne kulipwa mshahara mnono Man United

Spread the love

KIUNGO wa Manchester United ambaye ni raia wa Ubelgiji, Marouane Fellaini, ameongezewa mshahara unaomfanya ashike namba nne kati ya wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa kwa wiki kwenye klabu yake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 ambaye ni shabiki mkubwa wa kocha wa klabu yake, Jose Mourinho, amefanikiwa kushawishi mabosi wake na sasa kwa wiki atakuwa analipwa kitita cha Pauni za Uingereza 150,000 (sawa na Sh. 448 millioni) baada ya makato ya kodi.

Kwa mshahara huo, Marouane Fellaini anakuwa nyuma ya Alexis Sanchez, Paul Pogba na Romeu Lukaku.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!