Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Fellaini ashika namba nne kulipwa mshahara mnono Man United
Michezo

Fellaini ashika namba nne kulipwa mshahara mnono Man United

Spread the love

KIUNGO wa Manchester United ambaye ni raia wa Ubelgiji, Marouane Fellaini, ameongezewa mshahara unaomfanya ashike namba nne kati ya wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa kwa wiki kwenye klabu yake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 ambaye ni shabiki mkubwa wa kocha wa klabu yake, Jose Mourinho, amefanikiwa kushawishi mabosi wake na sasa kwa wiki atakuwa analipwa kitita cha Pauni za Uingereza 150,000 (sawa na Sh. 448 millioni) baada ya makato ya kodi.

Kwa mshahara huo, Marouane Fellaini anakuwa nyuma ya Alexis Sanchez, Paul Pogba na Romeu Lukaku.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!