Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Michezo Fellaini ashika namba nne kulipwa mshahara mnono Man United
Michezo

Fellaini ashika namba nne kulipwa mshahara mnono Man United

Spread the love

KIUNGO wa Manchester United ambaye ni raia wa Ubelgiji, Marouane Fellaini, ameongezewa mshahara unaomfanya ashike namba nne kati ya wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa kwa wiki kwenye klabu yake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 ambaye ni shabiki mkubwa wa kocha wa klabu yake, Jose Mourinho, amefanikiwa kushawishi mabosi wake na sasa kwa wiki atakuwa analipwa kitita cha Pauni za Uingereza 150,000 (sawa na Sh. 448 millioni) baada ya makato ya kodi.

Kwa mshahara huo, Marouane Fellaini anakuwa nyuma ya Alexis Sanchez, Paul Pogba na Romeu Lukaku.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Meridianbet yaibukia Tandika, yafungua duka jipya

Spread the love BAADA ya kupita maeneo mbalimbali hatimae kampuni yaMeridianbet imeibukia...

BiasharaMichezo

Ukiwa na Meridianbet ni rahisi kuwa milionea

Spread the love  CARABAO Cup raundi ya 3 Uingereza inaendelea na mechi...

Michezo

Jezi ya Samatta iliyoifunga Liverpool kuuzwa Genk

Spread the love  KLABU ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji imeamua kuanza...

BiasharaMichezo

Hii ndio historia ya El-Clasico, derby bora zaidi duniani

Spread the love  KILA nchi ina vilabu viwili hasimu na pinzani nje...

error: Content is protected !!