Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Channel za ndani kurudi kwenye ving’amuzi wiki ijayo
Habari Mchanganyiko

Channel za ndani kurudi kwenye ving’amuzi wiki ijayo

Spread the love

CHANELI za ndani kuanza kuoneshwa bure katika visimbuzi kuanzia tarehe 5 Septemba, 2018. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Hayo yamesemwa leo tarehe 28 Agosti, 2018 na Dk. Harrison Mwakyembe Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakati akizungumza na wanahabari kuhusu maazimio yaliyotolewa katika kikao chake na wadau pamoja na wamiliki wa televisheni nchini.

Dk. Mwakyembe amesema kuanzia tarehe 5 Septemba mwaka huu visimbuzi vitaanza kuonesha channeli zote za ndani bila kutoza gharama yoyote kwa mtazamaji.

Naye Dk. Hassan Abbasi, Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, amesema kuwa serikali imefikia uamuzi huo baada ya visimbuzi vya AZAM, ZUKU na DSTV kutoonesha channeli za ndani, kulingana na aina ya leseni zao.

Kwa upande wa wamiliki wa televisheni, Dk. Abbasi amesema wameridhishwa na hatua hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!