Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Chadema, serikali wavutana kuhusu Lissu
Habari za Siasa

Chadema, serikali wavutana kuhusu Lissu

Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kutishika na matamshi wanayodai kutolewa na mmoja wa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tano na kwamba, yanatishia usalama wa Tundu Lissu. Anaripoti Faki Sosi… (endelea).

Akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 20 Februari 2019 Patrick Ole Sosopi, Mwenyekiti wa Baraza Vijana la Chadema (Bavicha) amesema, matamshi hayo yanazidisha mashaka kuhusu shambulio la Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki.

Sosipi amedai kuwa, kauli ya kutaka kumzamisha Lissu kama mtumbwi baada ya kuponea chupuchupu na kuanza kufanya ziara Ulaya na Marekani huku akiendelea na matibabu nchini Ubelgiji, inaleta taswira hasi.

Lissu ambaye pia ni Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni alishambuliwa tarehe 7 Septemba 2017 eneo la Area ‘D’ Dodoma.

 Tazama hapa video yote……

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!