MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet leo imefanikiwa kufika maeneo ya Kijitonyamajijini Dar-es–Saslaam katika zahanati inayopatikana katikaeneo hilo na kutoa msaada wa vifaa vya usafi.
Huu umekua utaratibu wa kampuni hiyo bingwa kabisa yamichezo ya kubashiri kwani wamefika kwenye Zahanati hiyokutoa vifaa vya usafi, Ambapo wametoa ndoo za kuwekeatakataka kwajili ya kuimarisha usafi katika eneo hilo
Lengo la Meridianbet kutoa ndoo za kuwekea Takataka katikaZahanati hiyo ni kuhakikisha wanaweka mazingira safi katikaeneo hilo, Kwani kuweka mazingira safi kwenye eneo ambalowatu wanapata huduma za kiafya ni jambo muhimu sana.
Mara nyingi Zahanati ndio sehemu zinazokua na uhitaji mkubwasana wa vifaa vya usafi kwani ni rahisi magonjwa kuambukizwakatika eneo, Hii inatokana na eneo hilo kukaribisha wagonjwawenye maradhi mbalimbali hivo ikiwa ni eneo ambalo usafihauzingatiwa inaweza kugeuka kua sehemu hatari zaidi na ndiosababu ya Meridianbet kutoka kipaumbele katika sekta hiyo leo.
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Masoko kutoka Meridianbet Nancy Ingram amezungumza kwa niaba ya taasisibaada ya kutoa vifaa hivyo vya usafi”Kwanza kabisa sisi kamatimu ya Meridianbet tumefurahi kufika hapa leo, Lakini kubwazaidi lililotuleta hapa ni kutoa msaada wa vifaa vya usafiambavyo vitasaidia kuimarisha usafi katika Zahanati hii”
Suka mkeka wako kwenye michezo mikali itakayopigwawikiendi hii katika ligi mbalimbali barani ulaya, Machaguo zaidiza 1000 yapo huku lakini vile vile Turbo Cash pia ipo. Unasubirinini sasa? Ingia meridianbet na ubashiri sasa.
Mbali na mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Masoko kutokaMeridianbet kuzungumza lakini pia Zahanati hiyo kutokamaeneo ya Kijitonyama ilikua na muwakilishi ambaye alipatafursa ya kuzungumza “Kwanza nipende kuwashukuru kampuniya Meridianbet kwa kufika hapa kutoa msaada huu, Kwanimmeonesha moyo wa kujali kwa kiwnago kikubwa jamboambalo ningependa makampuni mengine yaige mfano huu”
Leave a comment