Tuesday , 21 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mbibo: Wananchi tembeleeni Tume ya Madini kupata elimu ya madini
Habari Mchanganyiko

Mbibo: Wananchi tembeleeni Tume ya Madini kupata elimu ya madini

Spread the love

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo ametoa wito kwa Watanzania, wananchi wa mkoa wa Geita, mikoa jirani na wachimbaji wadogo kwa ujumla kutembelea banda la maonesho la Tume ya Madini ili kupata elimu ya namna wanavyoweza kunufaika kwenye Sekta ya Madini sambamba na kupata majibu ya kero zao. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea).

Mbibo ametoa wito hu oleo tarehe 28 Septemba, 2022 alipotembelea banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya Bombambili Mjini Geita.

Maonyesho hayo ya tano ya kitaifa ya teknolojia ya madini kwa mwaka huu yamebeba kauli mbiu ya “Madini na fursa za uchumi ajira kwa maendeleo endelevu”.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Hukumu mahakama kuu yabatilishwa kesi State Oil, Equity Bank Tz

Spread the loveMAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imebatilisha hukumu iliyotolewa...

Habari Mchanganyiko

Geita, Mwanza waongoza kwa mbwa

Spread the loveNaibu waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema taarifa...

Habari Mchanganyiko

Waziri aipongeza NBS kwa mafanikio

Spread the love  Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande amepongeza Ofisi ya...

Habari Mchanganyiko

Balozi Nchimbi aonya maofisa utumishi kuacha uonevu

Spread the love  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk....

error: Content is protected !!