Tuesday , 30 May 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Maalim Seif agusa mtima wa Wazanzibari
Habari za Siasa

Maalim Seif agusa mtima wa Wazanzibari

Spread the love

UHURU wa kiuchumi kwa Wazanzibari kupitia zao la Karafuu, sasa utapatiwa ufumbuzi kwa wakulima kuuza kokote watakapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zamzibar … (endelea).

Ni kauli ya Maalim Seif Sharif Hamad, mgombea urais visiwani Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo aliyoitoa kwenye mkutano wake wa kampeni katika Kijiji cha Konde, Pemba.

“Tunataka wakulima wetu watangaze, waitangaze Zanzibar katika soko la ulimwengu na wafanyabiashara ya viungo watoke huko waje Zanzibar.”

“Tutawapa mbinu wakulima wetu ili wazalise bidhaa zilizo bora zaidi. Tutakusanya kodi kidogo ili wakulima watate faida kubwa na pia kuendeleza kilimo kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu,” amesema Maalim Seif.

Akielezea hali ya wakulima hao, Maalim Seif ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho amesema, wakulima hao wanaandamwana na kodi kubwa ya mazao yao huku serikali ikishindwa kuwaandalia mazingira mazuri ili wafanye kilimo chenye tija.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi juu ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi 13 Juni

Spread the love  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), imepanga...

Habari za Siasa

Musoma Vijijini waomba ujenzi wa barabara uanze haraka

Spread the loveJIMBO la Musoma Vijijini, mkoani Mara, limeomba Serikali kuhakikisha ujenzi...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika madudu miradi ya ujenzi, moundombinu

Spread the loveCHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa...

Habari za Siasa

Samia ashuhudia utiaji saini ujenzi wa minara 758 ya bilioni 265

Spread the love  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa kampuni za...

error: Content is protected !!