Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maalim Seif agusa mtima wa Wazanzibari
Habari za Siasa

Maalim Seif agusa mtima wa Wazanzibari

Spread the love

UHURU wa kiuchumi kwa Wazanzibari kupitia zao la Karafuu, sasa utapatiwa ufumbuzi kwa wakulima kuuza kokote watakapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zamzibar … (endelea).

Ni kauli ya Maalim Seif Sharif Hamad, mgombea urais visiwani Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo aliyoitoa kwenye mkutano wake wa kampeni katika Kijiji cha Konde, Pemba.

“Tunataka wakulima wetu watangaze, waitangaze Zanzibar katika soko la ulimwengu na wafanyabiashara ya viungo watoke huko waje Zanzibar.”

“Tutawapa mbinu wakulima wetu ili wazalise bidhaa zilizo bora zaidi. Tutakusanya kodi kidogo ili wakulima watate faida kubwa na pia kuendeleza kilimo kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu,” amesema Maalim Seif.

Akielezea hali ya wakulima hao, Maalim Seif ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho amesema, wakulima hao wanaandamwana na kodi kubwa ya mazao yao huku serikali ikishindwa kuwaandalia mazingira mazuri ili wafanye kilimo chenye tija.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!