Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Kocha wa Simba atua
Michezo

Kocha wa Simba atua

Pablo Franco, Kocha mpya wa Simba akiwasili nchini
Spread the love

 

KOCHA mpya wa Simba ya Tanzania, Pablo Franco amewasili nchini humo kuanza kibarua ya kuwanoa mabingwa hao watetezi wa ligi kuu na kombe la shirikisho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …(endelea).

Pablo ambaye ni raia wa Hispania, amewasili leo Jumatano, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.

           Soma zaidi:-

Kocha huyo anakuja kuchukua mikoba ya Didier Gomes ambaye hivi karibuni, walikubaliana kuvunja mkataba.

Ni baada ya Simba kutolewa kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika na sasa inashiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!