Tuesday , 26 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Kirigini kuzikwa leo Butiama
Habari Mchanganyiko

Kirigini kuzikwa leo Butiama

Spread the love

 

MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini (1980-1985), Herman Kirigini, unatarajiwa kuzikwa leo Jumamosi, kijijini kwao Muryaza, Wilaya ya Butiama. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara … (endelea).

Kirigini alifarikini dunia tarehe 23 Mei 2023, baada ya kuanguka ghafla akitoka chumbani kwake katika nyumba yake iliyoko Musoma Mjini, mkoani Mara.

Jana Ijumaa tarehe 26 Mei 2025, mwili wa kirigini ulitolewa heshima za mwisho nyumbani kwake Musoma Mjini, kisha ulisafirishwa kuelekea Butiama kwa ajili ya mazishi.

Kufuatia msiba huo, Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ametoa salamu za rambirambi kwa familia, ndugu jamaa na marafiki, huku akichangia mahitaji mbalimbali kufanikisha mazishi.

Miongoni mwa michango hiyo ni, mchele kilo 100, maharage kilo 30, ssukari kilo 25, ngano kilo 25 na mafuta lita 20.

Mbali ya kuwa mbunge, Kirigini aliwahi kuwa Waziri wa Kilimo na Mifugo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Rais Samia apewa tano ujenzi barabara Mtwara

Spread the loveWANANCHI wa Mkoa wa Mtwara, wameishukuru Serikali ya Rais Dk....

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali kununua mitambo 15 ya kuchoronga miamba

Spread the loveSerikali kupitia Wizara ya Madini imepanga kununua mitambo 15 ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mtanzania aweka rekodi kimataifa kwa kiwanda cha kusafisha dhahabu

Spread the loveIMEELEZWA kuwa Kiwanda cha Kusafisha dhahabu cha Geita Gold Refinery...

Habari Mchanganyiko

MAIPAC kusaidia Kompyuta shule ya Arusha Alliance

Spread the loveTaasisi ya Wanahabari ya kusaidia Jamii za pembezoni (MAIPAC) imeahidi...

error: Content is protected !!